• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • Tagged with
  • 3
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 1
  • 1
  • 1
  • 1
  • 1
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Fehlverhalten von Forschern : eine Untersuchung am Beispiel der biomedizinischen Forschung im Rechtsvergleich USA-Deutschland /

Stegemann-Boehl, Stefanie. January 1994 (has links) (PDF)
Univ., Diss.--Freiburg (Breisgau), 1993.
2

W. E. Taylor (1856-1927):

Frankl, J.L.P. 30 November 2012 (has links) (PDF)
Bwana Tela (1856-1927) alikuja Afrika ya mashriki kutoka Ulaya katika mwaka 1297 wa hijti (mwaka 1880 wa miladi), akakaa kwa muda wa myaka khamustaashara takriban. Ingawa alikuja kutangaza dini ya kiNasara, kazi aliyofanya zaidi Mambasa ilikuwa ni ya mambo ya utaalamu wa lugha ya kiSawahili, na mashairi yake, na utamaduni wa waSawahili. Alipata bahati ya kuwa na marafiki wataalamu wa kiMvita, khaswa Mwalimu Sikujuwa al-Batawi, na Bwana Hemedi al-Mambasi. Nyimbo zake za kiMisheni alizotunga kwa kiSawahili hazikutiwa maanani, lakini mahadhi aliokuwa akiimbiya yalibakiya kwa myaka mingi kwa jina la `mahildhi ya Tela´. Bwana Tela alisaidiana na Mwalimu Sikujuwa kuhifadhi t´ungo za washairi wengi wa kale zisipotee, khaswa t´ungo za Bwana Muyaka. Kadhalika alikusanya mithali ya kiSawahili, zaidi ya sita-mia. Karatasi zake alizoandika mambo ya kiSawahili, nyingi sasa ziko maktaba ya SOAS, London, na ni muhimu katika kutusaidiya kufahamu kiSawahili cha kiSawahili. Si makosa kusema kuwa Bwana Tela ndiye mtaalamu mkubwa wa kiSawahili katika wataalamu wote wa kiNgereza.
3

W. E. Taylor (1856-1927):: England`s greatest Swahili scholar

Frankl, J.L.P. 30 November 2012 (has links)
Bwana Tela (1856-1927) alikuja Afrika ya mashriki kutoka Ulaya katika mwaka 1297 wa hijti (mwaka 1880 wa miladi), akakaa kwa muda wa myaka khamustaashara takriban. Ingawa alikuja kutangaza dini ya kiNasara, kazi aliyofanya zaidi Mambasa ilikuwa ni ya mambo ya utaalamu wa lugha ya kiSawahili, na mashairi yake, na utamaduni wa waSawahili. Alipata bahati ya kuwa na marafiki wataalamu wa kiMvita, khaswa Mwalimu Sikujuwa al-Batawi, na Bwana Hemedi al-Mambasi. Nyimbo zake za kiMisheni alizotunga kwa kiSawahili hazikutiwa maanani, lakini mahadhi aliokuwa akiimbiya yalibakiya kwa myaka mingi kwa jina la `mahildhi ya Tela´. Bwana Tela alisaidiana na Mwalimu Sikujuwa kuhifadhi t´ungo za washairi wengi wa kale zisipotee, khaswa t´ungo za Bwana Muyaka. Kadhalika alikusanya mithali ya kiSawahili, zaidi ya sita-mia. Karatasi zake alizoandika mambo ya kiSawahili, nyingi sasa ziko maktaba ya SOAS, London, na ni muhimu katika kutusaidiya kufahamu kiSawahili cha kiSawahili. Si makosa kusema kuwa Bwana Tela ndiye mtaalamu mkubwa wa kiSawahili katika wataalamu wote wa kiNgereza.

Page generated in 0.0642 seconds