Return to search

Instrumentalisation du Swahili dans l’espace revendicatif afro-americain et commentaires de locuteurs swahili sur la celebration Kwanzaa.

Kwanzaa ni sikukuu ya utamaduni pendwa inayosherehekewa na amarekani-Waafrika na watu wengine wa diaspora sehemu mbalimbali duniani. Kwanzaa husherehekewa kwa siku saba toka Desemba tarehe 26 hadi Januari 1. Sherehe hiyo iliyotokana na vuguvugu la Wamarekani weusi kuenzi historia na utamaduni wao toka Afrika. Ilianzishwa mwaka 1966. Katika makala haya, tutaonyesha kwamba Kiswahili katika sherehe hiyo hakitumiki kama lugha ya mawasiliano, kinatumika kama lugha ya kuungana Wamarekani weusi na kuwakumbusha asili zao za kiafrika. Tutaangalia pia maoni mbali mbali ya Waafrika wanaojua Kiswahili na wanaoishi barani Afrika kuhusu sherehe hiyo. Tumeyachukua na tumeyachanganua maoni ya Waghana kwa sababu Ghana ilichaguliwa na watu wa diaspora na hasa na Warasta kama “nchi au ardhi ya rejeo”, kwa hivyo Waghana wanahusika sana na msukumo huu wa Wamarekani weusi.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11741
Date03 December 2012
CreatorsFerrari, Aurelia
ContributorsUniversity of Ghana, Legon, Universität Mainz
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageFrench
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum; 18(2011), S. 5-23
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-94462, qucosa:11600

Page generated in 0.0022 seconds