Return to search

Kiswahili: kama kilivyotumika nyakati za vita

Katika kuangalia lugha ya Kiswahili, utaona kuwa uchaguzi wa lugha hii kama lugha ya taifa nchini Kenya na kama lugha ya taifa na lugha rasmi nchini Tanzania unatokana na mambo mengi ya kihistoria, kisiasa, kidini na hata kijamii. Mambo haya yamesaidia katika kukubalika kwa lugha hii na watu wengi katika nchi hizi na nchi nyinginezo ulimwenguni. Makala haya yananuiwa hasa kuangalia namna ambavyo vita mbalimbali vilivyosaidia katika uenezaji na ukuaji wa lugha ya Kiswahili katika ule makabala wa kuangalia historia ya Kiswahili.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11602
Date23 August 2012
CreatorsNgugi, Pamela M. Y.
ContributorsKenyatta University, Universität zu Köln
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum 6 (1999), S. 131-136
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-93681, qucosa:11586

Page generated in 0.0019 seconds