Return to search

Usawiri wa Wapwani na Uhusiano wao na Makundi Mengine katika Kazi za Rocha Chimerah

Watu wa pwani ya Afrika Mashariki wanaojumuisha vikundi vingi wana historia ndefu ya mitagusano na makundi mengine yakiwemo ya bara na wageni kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu. Mitagusano hiyo ya wapwani na wengine pamoja na athari zake ni mojawapo ya maudhui makuu ambayo Rocha Chimerah anashughulikia katika kazi zake zote. Makala hii inachanganua maudhui na vipengele vya fani vya kazi za mwandishi huyu ili kubainisha jinsi anavyoshughulikia suala lililotajwa hapo juu. Katika kufanya hivyo, makala inatathmini uhalisi wa kijamii na kihistoria unavyowakilishwa na kazi za Chimerah. Japo kazi zote za Chimerah zitarejelewa, zile za karibuni zaidi zitapewa kipaumbele.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:79293
Date30 May 2022
CreatorsMbatiah, Mwenda
ContributorsUniversität Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typeinfo:eu-repo/semantics/publishedVersion, doc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relation1614-2373, urn:nbn:de:bsz:15-qucosa2-792924, qucosa:79292

Page generated in 0.0017 seconds