Return to search

Existentialism and feminism in Kezilahabi`s novel Kichwamaji

Makala hii inachambua riwaya ya pili ya mwandishi maarufu wa Kiswahili, Euphrase Kezilahabi (*1944) iitwayo Kichwamaji (1974). Inajaribu kuzingatia mikondo miwili ya uchambuzi yaani inajadili kwa ufupi nadharia ipi au mkondo upi wa kimawazo unafaa zaidi katika kuichambua riwaya hiyo: udhanaishi au ufeministi. Je, inawezekana kuunganisha yote mawili? / In this essay, I would like to analyse the novel Kichwamaji (‘Empty-head’; 1974) by the well-known Tanzanian writer Euphrase Kezilahabi against the background of two philosophical theories: existentialism and feminism. I will first discuss existentialism and the existentialist elements in the novel. Then I will present feminist theory and focus on the female characters in Kichwamaji. I will argue that a feminist reading of the novel is impossible due to its predominant existentialist character.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11599
Date16 August 2012
CreatorsSakkos, Tiina
ContributorsUniversity of London, Universität Mainz
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageEnglish
Detected LanguageEnglish
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum 15 (2008), S. 51-61
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-94135, qucosa:11596

Page generated in 0.0046 seconds