Return to search

Mahojano mafupi na Lutz Diegner juu ya riwaya ya Bina-Adamu!

Kyallo Wadi Wamitila aliyezaliwa mwaka 1966 mjini Machakos nchini Kenya ni mwandishi anayeandika katika tanzu za ushairi, tamthilia, hadithi fupi na riwaya. Aidha, ameandika vitabu kadhaa vya watoto. Katika mahojano haya mafupi yaliyofanyika tarehe 03.11.2004 kwa njia za baruapepe tulizungumzia riwaya yake ya pili Bina-Adamu! (2002). Riwaya hii ni juzuu ya kwanza ya trilojia ambayo imeendelezwa na Musaleo! Juzuu ya tatu itaitwa Pumzi za Kovu.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11734
Date30 November 2012
CreatorsWamitila, Kyallo Wadi
ContributorsUniversity of Nairobi, Universität Mainz
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum; 12(2005), S. 95-97
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-94062, qucosa:11593

Page generated in 0.0016 seconds