Return to search

Gabriel Ruhumbika: Janga sugu la wazawa (2002). Uchambuzi na Uhakiki

Gabriel Ruhumbika aliyezaliwa mwaka 1938 kisiwani Ukerewe ni miongoni mwa wanafasihi waliokubuhu katika fani ya riwaya za Kiswahili. Sasa ametuletea riwaya hii ya aina yake Janga sugu la wazawa (2002). Kwa jumla, riwaya hii linaakisi hali halisi ya mfumo wa maisha ya Wakerewe kwa kuwalinganisha na jamii inayokizunguka kisiwa cha Ukerewe, mintarafu imani za jadi na jinsi Ukristo ulivyoathiri misingi hiyo. Hali kadhalika, riwaya hii linasisitiza umuhimu wa kuzingatia kuthamini tamaduni, mila na desturi na maadili mema katika jamii.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11733
Date30 November 2012
CreatorsMbonde, John P.
ContributorsUniversität Mainz
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum; 12(2005), S. 81-93
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-94062, qucosa:11593

Page generated in 0.002 seconds