Return to search

Masuala ya kisarufi katika magazeti ya mitaani ya kiswahili - Tanzania

Baada ya kupitishwa kwa sheria iliyoruhusu kuanzishwa kwa magazeti binafsi mnamo 1992, kumeibuka magazeti mengi ya lugha ya Kiswahili nchini Tanzania yanayochapishwa kila siku. Kundi moja la magazeti ni lile la magazeti yanayojulikana kwa jumla kama `Magazeti ya Mitaani´. Magazeti katika kundi hili yanabeba mada nyingi mbalimbali zinazohusu mambo ya watu mitaani, masuala ya mambo ya kidini mitaani, vichekesho, na mara nyingi yale yanayowasibu wanajamii mitaani mmojammoja au kwa jumla. Nia yetu katika makala haya ni kuchunguza masuala ya kisarufi katika maelezo yanayojitokeza katika `magazeti ya mitaani´.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11728
Date30 November 2012
CreatorsKihore, Yared M.
ContributorsUniversity of Dar es Salaam, Universität Mainz
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum; 11(2004), S. 107-119
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-91576, qucosa:11539

Page generated in 0.0031 seconds