Return to search

Masuala ya kisarufi katika magazeti ya mitaani ya kiswahili - Tanzania

Baada ya kupitishwa kwa sheria iliyoruhusu kuanzishwa kwa magazeti binafsi mnamo 1992, kumeibuka magazeti mengi ya lugha ya Kiswahili nchini Tanzania yanayochapishwa kila siku. Kundi moja la magazeti ni lile la magazeti yanayojulikana kwa jumla kama `Magazeti ya Mitaani´. Magazeti katika kundi hili yanabeba mada nyingi mbalimbali zinazohusu mambo ya watu mitaani, masuala ya mambo ya kidini mitaani, vichekesho, na mara nyingi yale yanayowasibu wanajamii mitaani mmojammoja au kwa jumla. Nia yetu katika makala haya ni kuchunguza masuala ya kisarufi katika maelezo yanayojitokeza katika `magazeti ya mitaani´.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-98200
Date30 November 2012
CreatorsKihore, Yared M.
ContributorsUniversity of Dar es Salaam, Institute of Kiswahili Research, Universität Mainz, Insitut für Ethnologie und Afrikastudien
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum; 11(2004), S. 107-119

Page generated in 0.0021 seconds