Return to search

Mazungumzo na Lutz Diegner juu ya riwaya ya Ziraili na Zirani

William E. Mkufya aliyezaliwa mwaka 1953 wilayani Lushoto, Tanga, nchini Tanzania ni mmojawapo wa waandishi wakongwa wa riwaya ya Kiswahili. Hadi hii leo amechapisha riwaya nne. Aidha, ameandika vitabu kumi na viwili vya watoto na kutafsiri baadhi ya vitabu, kama vile riwaya ya Kiu ya Mohamd Suleiman Mohamed. Riwaya za Ziraili na Zirani na Ua la Faraja zimeshinda Tuzo la Fasihi ya Kitaifa Tanzania katika kiwango cha Muswada Bora wa Riwaya mnamo 1999 na 2001. Katika mazungumzo haya yaliyofanyika tarehe 29 Januari, mwaka 2004, huko TYCS, Upanga, Dar es Salaam tulitia mkazo zaidi kwenye riwaya yake ya kiepiki Ziraili na Zirani (1999).

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-98266
Date30 November 2012
CreatorsMkufya, William E.
ContributorsUniversität Mainz, Insitut für Ethnologie und Afrikastudien
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum; 12(2005), S. 37-62

Page generated in 0.0025 seconds