Return to search

Uchanganuzi wa Riwaya ya Kiza Katika Nuru ya Said Ahmed Mohamed kwa Misingi ya Umarxi Mpya wa Kifreire

Makala hii inachanganua wahusika na dhana kuu zinazosawiriwa katika riwaya ya Kiza Katika Nuru (1988) ya Said Ahmed Mohamed kwa kuzingatia mihimili ya mojawapo ya mikabala ya Umarxi Mpya, mkabala wa mwanafalsafa na mwananadharia kutoka Marekani ya Kilatini, Paulo Freire. Kiini cha mkabala huu wa umarxi-mpya ni kukosoa na kutupilia mbali mitazamo kuhusu elimu inayomnyima mwanafunzi fursa ya kujifunza kutokana na mazingira yake. Uchambuzi huu unabainisha jinsi Umarxi Mpya wa Kifreire unavyofaa kwa kuchambua riwaya ya Kiza Katika Nuru, na riwaya nyingine za Kiswahili zinazofanana nayo. / This article analyses characters and main concepts in Said Ahmed Mohamed’s novel Kiza katika Nuru (Darkness in Light) through applying tenets of one of the Neo-Marxist theories, namely the Freirean one. Paul Freire’s Neo-Marxist theory is primarily associated with the Latin American environment and centres around the debunking of the banking concept education as a modus operand of revolution. This analysis demonstrates how Freirean Neo-Marxism is relevant and appropriate to the understanding and interpretation of Kiza Katika Nuru and other Kiswahili novels that are similar to it.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:79295
Date30 May 2022
CreatorsWafula, Richard Makhanu, Mue, Elizabeth Kasau
ContributorsUniversität Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typeinfo:eu-repo/semantics/publishedVersion, doc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relation1614-2373, urn:nbn:de:bsz:15-qucosa2-792924, qucosa:79292

Page generated in 0.0019 seconds