Return to search

Mahojiano na Chachage Seithy L. Chachage juu ya riwaya yake Makuadi wa Soko Huria (2002)

Chachage Seithy L. Chachage aliyezaliwa mwaka 1955 wilayani Njombe ni mmojawapo wa waandishi wakongwe wa riwaya ya Kiswahili. Hadi hii leo amechapisha riwaya nne. Katika mahojiano haya yaliyofanyika tarehe 30 Machi, mwaka 2004, huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tulitia mkazo zaidi kwenye riwaya yake mpya Makuadi wa Soko Huria (2002). Hivi sasa mwandishi ni Profesa na Mkuu wa Idara ya Sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-98254
Date30 November 2012
CreatorsDiegner, Lutz
ContributorsHumboldt-Universität zu Berlin, Institut für Asien und Afrikawissenschaften, Universität Mainz, Insitut für Ethnologie und Afrikastudien
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum; 11(2004), S. 227-234

Page generated in 0.0026 seconds