Return to search

Kiswahili: a poem by Mahmoud Ahmad Abdulkadir, to which is appended a list of the poet’s compositions in verse.

Ustadh Mau ni jina la hirimu la Mahmoud Ahmad Abdulkadir. Ni muAmu halisi: ni mzaliwa wa Amu, alikuwa mwanafunzi kule, na leo ni miongoni mwa viongozi wa dini wa Amu. Pia ni mfadhili wa miradi mingi. Umaarufu wake umeeneya kwa sababu ya vipaji vyake vya ushairi. Utungaji wa Kiswahili ni mfano mmoja katika vipaji hivi. Mashairi haya, alioandika kwa herufi za kiArabu, yanatafautisha hali ya kiSwahili ilivyokuwa zamani na ilivyo sasa. Ustadh Mau analalamika kukhusu hali ya lugha hii, hasa katika sehemu za uSwahili wa kaskazini. Katika wakati ujao kiSwahili kitakuwa hali gani?

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-137405
Date27 March 2014
CreatorsMahmoud, Ahmad Abdulkadir, Frankl, P. J. L.
ContributorsUniversität Leipzig, Institut für Afrikanistik
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageEnglish
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum 20 (2013), S. 1-18

Page generated in 0.0023 seconds