Return to search

Sufii al-Busiri

Katika makala hii nitazungumzia tarehe na kazi za al-Busiri mshairi wa kisufii maarufu katika fasihi ya kiislamu na ambaye baadhi ya kazi zake zimetarjumiwa kwa Kiswahili. Mojawapo ya kazi hizi ni Kasida ya Hamziyyah, ambayo ni maarufu sana hususa kwa Kiswahili cha zamani kiitwacho Kingozi. Kazi yake ya pili mashuhuri sana ni Kasida ya Burudai, kasida ambayo ndiyo maarufu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu. Mshairi huyu ingawa ni mashuhuri, ni mgeni sana kwa wasomi wengi wa fasihi ya Kiswahili.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:11791
Date14 December 2012
CreatorsWa Mutiso, Kineene
ContributorsUniversity of Nairobi, Universität zu Köln
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
SourceSwahili Forum; 9(2002), S. 19-24
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relationurn:nbn:de:bsz:15-qucosa-93755, qucosa:11591

Page generated in 0.0023 seconds