• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • Tagged with
  • 3
  • 3
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Vermittelte Unmittelbarkeit Jacobis "Salto mortale" als Konzept zur Aufhebung des Gegensatzes von Glaube und Spekulation in der intellektuellen Anschauung der Vernunft

Schick, Stefan January 2004 (has links)
Zugl.: Regensburg, Univ., Magisterarbeit, 2004
2

Mielekeo ya wasomi wa Kiswahili na viongozi wa Afrika Mashariki kuhusu lugha ya Kiswahili / The attitude of Swahili intellectuals and East-African leaders towards the language of Kiswahili

Mohochi, Sangai 16 August 2012 (has links) (PDF)
Lugha ya Kiswahili imeenea na kukua kiasi cha kuweza kupambana na zingine katika ngazi za kimataifa kwenye mfumo wa sasa wa utandawazi. Hata hivyo, Kiswahili hakiwezi kupata fanaka inayotarajiwa huko nje iwapo hakithaminiwi na kudhaminiwa nyumbani (Afrika Mashariki). Bado lugha ya Kiswahili inakumbana na pingamizi nyingi mno; na miongoni mwa vikwazo hivyo ni mielekeo ya lugha inayobainika katika jamii. Makala hii inajikita zaidi katika mielekeo ya viongozi wa Afrika Mashariki, na wasomi wa Kiswahili kuhusu nafasi na umuhimu wa Kiswahili. Viongozi na wasomi wana ushawishi mkubwa sana kutokana na nafasi yao katika jamii. Wote wanaheshimika na kuenziwa; viongozi kutokana na mamlaka waliyopewa, na wasomi kwa sababu ya maarifa waliyonayo. Kutokana na ukweli huo, tabia na mienendo yao, pamoja na matamko yao mbalimbali yana athari kubwa sana katika jamii. Mara nyingi, watu wengi hupenda kuiga wayafanyayo; hali inayobainika pia katika matumizi ya lugha. Kabla ya kuijadili mielekeo na matumizi yao ya lugha, maswala mawili muhimu yanayochangia ujenzi wa hiyo mielekeo katika jamii yatazungumziwa: thamani ya lugha, na zoezi la kujifunza lugha ya pili.
3

Mielekeo ya wasomi wa Kiswahili na viongozi wa Afrika Mashariki kuhusu lugha ya Kiswahili / The attitude of Swahili intellectuals and East-African leaders towards the language of Kiswahili

Mohochi, Sangai January 2011 (has links)
Lugha ya Kiswahili imeenea na kukua kiasi cha kuweza kupambana na zingine katika ngazi za kimataifa kwenye mfumo wa sasa wa utandawazi. Hata hivyo, Kiswahili hakiwezi kupata fanaka inayotarajiwa huko nje iwapo hakithaminiwi na kudhaminiwa nyumbani (Afrika Mashariki). Bado lugha ya Kiswahili inakumbana na pingamizi nyingi mno; na miongoni mwa vikwazo hivyo ni mielekeo ya lugha inayobainika katika jamii. Makala hii inajikita zaidi katika mielekeo ya viongozi wa Afrika Mashariki, na wasomi wa Kiswahili kuhusu nafasi na umuhimu wa Kiswahili. Viongozi na wasomi wana ushawishi mkubwa sana kutokana na nafasi yao katika jamii. Wote wanaheshimika na kuenziwa; viongozi kutokana na mamlaka waliyopewa, na wasomi kwa sababu ya maarifa waliyonayo. Kutokana na ukweli huo, tabia na mienendo yao, pamoja na matamko yao mbalimbali yana athari kubwa sana katika jamii. Mara nyingi, watu wengi hupenda kuiga wayafanyayo; hali inayobainika pia katika matumizi ya lugha. Kabla ya kuijadili mielekeo na matumizi yao ya lugha, maswala mawili muhimu yanayochangia ujenzi wa hiyo mielekeo katika jamii yatazungumziwa: thamani ya lugha, na zoezi la kujifunza lugha ya pili.

Page generated in 0.0993 seconds