• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • 1
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 1
  • 1
  • 1
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Gabriel Ruhumbika: Janga sugu la wazawa (2002). Uchambuzi na Uhakiki

Mbonde, John P. 30 November 2012 (has links) (PDF)
Gabriel Ruhumbika aliyezaliwa mwaka 1938 kisiwani Ukerewe ni miongoni mwa wanafasihi waliokubuhu katika fani ya riwaya za Kiswahili. Sasa ametuletea riwaya hii ya aina yake Janga sugu la wazawa (2002). Kwa jumla, riwaya hii linaakisi hali halisi ya mfumo wa maisha ya Wakerewe kwa kuwalinganisha na jamii inayokizunguka kisiwa cha Ukerewe, mintarafu imani za jadi na jinsi Ukristo ulivyoathiri misingi hiyo. Hali kadhalika, riwaya hii linasisitiza umuhimu wa kuzingatia kuthamini tamaduni, mila na desturi na maadili mema katika jamii.
2

Gabriel Ruhumbika: Janga sugu la wazawa (2002). Uchambuzi na Uhakiki

Mbonde, John P. 30 November 2012 (has links)
Gabriel Ruhumbika aliyezaliwa mwaka 1938 kisiwani Ukerewe ni miongoni mwa wanafasihi waliokubuhu katika fani ya riwaya za Kiswahili. Sasa ametuletea riwaya hii ya aina yake Janga sugu la wazawa (2002). Kwa jumla, riwaya hii linaakisi hali halisi ya mfumo wa maisha ya Wakerewe kwa kuwalinganisha na jamii inayokizunguka kisiwa cha Ukerewe, mintarafu imani za jadi na jinsi Ukristo ulivyoathiri misingi hiyo. Hali kadhalika, riwaya hii linasisitiza umuhimu wa kuzingatia kuthamini tamaduni, mila na desturi na maadili mema katika jamii.

Page generated in 0.0528 seconds