• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • 1
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Launi za Kiswahili sanifu na Kiswahili fasaha kwa Tanzania Bara na Zanzibar

Kipacha, Ahmad 06 March 2013 (has links) (PDF)
Mabaraza na vyombo wenza vya kuendeleza lugha ya Kiswahili kwa upande wa Tanzania Bara na yale ya Tanzania Zanzibar hivi karibuni yameidhinisha kamusi za Kiswahili zinazopelekea kuwa na vielelezo anuwai vya usanifu wa lugha ya Kiswahili. Kamusi ya Kiswahili Sanifu (KKS) ya TUKI (sasa TATAKI) ya 2004 na ile ya Kamusi la Kiswahili Fasaha (KKF) ya BAKIZA ya 2010 ni ushahidi kuwa launi za Kiswahili Sanifu dhidi ya Kiswahili Fasaha zinarasimishwa. Kwa kutumia vigezo vya nadharia ya usanifishaji lugha ya Haugen (1966, 1987), makala haya yanajenga hoja kuwa tayari tumeshapata launi rasmi mbili za Kiswahili. Mapitio ya maandiko rasmi kinzani ya wasomi wa Tanzania bara na yale ya wasomi wa Zanzibar yanathibitisha kukubalika kwa launi hizo. Tahadhari kwa wahariri, walimu wa Kiswahili kama lugha ya kigeni, wanasheria, waandishi wa habari, wafasiri na watumiaji wa kawaida inatolewa juu ya kubainisha waziwazi launi hizo rasmi katika kazi zao za kila siku.
2

Launi za Kiswahili sanifu na Kiswahili fasaha kwa Tanzania Bara na Zanzibar

Kipacha, Ahmad 06 March 2013 (has links)
Mabaraza na vyombo wenza vya kuendeleza lugha ya Kiswahili kwa upande wa Tanzania Bara na yale ya Tanzania Zanzibar hivi karibuni yameidhinisha kamusi za Kiswahili zinazopelekea kuwa na vielelezo anuwai vya usanifu wa lugha ya Kiswahili. Kamusi ya Kiswahili Sanifu (KKS) ya TUKI (sasa TATAKI) ya 2004 na ile ya Kamusi la Kiswahili Fasaha (KKF) ya BAKIZA ya 2010 ni ushahidi kuwa launi za Kiswahili Sanifu dhidi ya Kiswahili Fasaha zinarasimishwa. Kwa kutumia vigezo vya nadharia ya usanifishaji lugha ya Haugen (1966, 1987), makala haya yanajenga hoja kuwa tayari tumeshapata launi rasmi mbili za Kiswahili. Mapitio ya maandiko rasmi kinzani ya wasomi wa Tanzania bara na yale ya wasomi wa Zanzibar yanathibitisha kukubalika kwa launi hizo. Tahadhari kwa wahariri, walimu wa Kiswahili kama lugha ya kigeni, wanasheria, waandishi wa habari, wafasiri na watumiaji wa kawaida inatolewa juu ya kubainisha waziwazi launi hizo rasmi katika kazi zao za kila siku.

Page generated in 0.024 seconds