• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 1
  • 1
  • 1
  • 1
  • 1
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Chachage Seithy L. Chachage: Makuadi wa soko huria (2002). Uchambuzi na uhakiki.

Mbonde, John P. 30 November 2012 (has links)
Chachage Seithy L. Chachage amepata kuandika riwaya nyingine tatu: Sudi ya Yohana (1980), Kivuli (1984) na Almasi za Bandia (1990). Riwaya yake ya nne Makuadi wa Soko Huria (2002) ni ya kihistoria na yenye upekee wa maudhui, muundo na mtindo. Vipengele hivi vinadhihirisha ukomavu na upeo wa juu wa mwandishi ilimradi kwenda sambamba na changamoto ya utandawazi ya karne ya ishirini na moja ya milenia ya tatu. Mwandishi amekitabaruku kitabu hiki kwa kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (1922-1999).
2

Mahojiano na Chachage Seithy L. Chachage juu ya riwaya yake Makuadi wa Soko Huria (2002)

Diegner, Lutz 30 November 2012 (has links)
Chachage Seithy L. Chachage aliyezaliwa mwaka 1955 wilayani Njombe ni mmojawapo wa waandishi wakongwe wa riwaya ya Kiswahili. Hadi hii leo amechapisha riwaya nne. Katika mahojiano haya yaliyofanyika tarehe 30 Machi, mwaka 2004, huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tulitia mkazo zaidi kwenye riwaya yake mpya Makuadi wa Soko Huria (2002). Hivi sasa mwandishi ni Profesa na Mkuu wa Idara ya Sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Page generated in 0.054 seconds