Return to search

Mapitio: Swahili Muslim Publics and Postcolonial Experience. Kai Kresse. 2018. Bloomington: Indiana University Press. 237 pp. ISBN 9780253037541 & 2019. Dar es Salaam: Mkuki na Nyota. k. 256. SKU: 987998708329911.

Katika mapitio hayo, Irene Brunotti aliye Mhadhiri wa Lugha na Taaluma za Kiswahili na Mtafiti wa Chuo Kikuu cha Leipzig anausifu umakinifu wa uchambuzi wa hadhara za Kiislamu za Waswahili uliofanywa na Kai Kresse katika kitabu chake. Anatoa hoja mbalimbali za kusisitiza kwamba kazi hiyo ni mchango wenye thamani kubwa sana katika Taaluma za Kiswahili, Anthropolojia, Falsafa, Ubaadaukoloni na nyingi nyinginezo. / In this review of Kai Kresse’s book, Irene Brunotti, Lecturer in Kiswahili and Swahili Studies and Researcher at the University of Leipzig, highlights the humble attentiveness with which Kresse analyses Swahili Muslim Publics. She advances a variety of arguments which emphasize that Kresse’s is an excellent contribution to Swahili Studies, Anthropology, Philosophy, Postcolonial Studies, and a number of other disciplines.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa:de:qucosa:72140
Date14 September 2020
CreatorsBrunotti, Irene
ContributorsUniversität Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili
Detected LanguageEnglish
Typeinfo:eu-repo/semantics/publishedVersion, doc-type:article, info:eu-repo/semantics/article, doc-type:Text
Rightsinfo:eu-repo/semantics/openAccess
Relation1614-2373, urn:nbn:de:bsz:15-qucosa2-721318, qucosa:72131

Page generated in 0.0017 seconds