• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • 1
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Gustav Neuhaus: mwalimu wa Kiswahili, mhariri na mtumishi wa serikali ya kikoloni

Bromber, Katrin 23 August 2012 (has links) (PDF)
Watumishi wa Taasisi ya Mambo ya Kiafrika ya Chuo Kikuu cha Humboldt walipotayarisha kuhama kwa taasisi yao kutoka Reinhardtstrasse mwaka 1995, boksi la jivu ilipatikana ndani ya kabati la chuma. Ndani yake zilihifadhiwa nyaraka za Kiswahili na Kiarabu zilizoandikwa kwa hati za Kiarabu. Kufuatana na lugha na maelezo yalioyoongezwa nyaraka hizo zilitoka Afrika Mashariki na kukusanywa na Gustav Neuhaus mwishoni mwa karne iliyopita. Lengo la makala hii ni yafuatayo: kutoa maelezo machache juu ya maisha ya Gustav Neuhaus, kuzungumzia matoleo yake ili kufafanua mchango wake katika masomo ya Kiswahili mjini Berlin na katika kupanua ujuzi juu ya lugha na utamaduni wa Waswahili, kutumia mada ya utumwa kama ilivyoelezwa katika nyaraka mbalimbali za mkusanyo wa Neuhaus ili kuonyesha umuhimu wa nyaraka hizo kwa historia ya Afrika Mashariki.
2

Gustav Neuhaus: mwalimu wa Kiswahili, mhariri na mtumishi wa serikali ya kikoloni

Bromber, Katrin 23 August 2012 (has links)
Watumishi wa Taasisi ya Mambo ya Kiafrika ya Chuo Kikuu cha Humboldt walipotayarisha kuhama kwa taasisi yao kutoka Reinhardtstrasse mwaka 1995, boksi la jivu ilipatikana ndani ya kabati la chuma. Ndani yake zilihifadhiwa nyaraka za Kiswahili na Kiarabu zilizoandikwa kwa hati za Kiarabu. Kufuatana na lugha na maelezo yalioyoongezwa nyaraka hizo zilitoka Afrika Mashariki na kukusanywa na Gustav Neuhaus mwishoni mwa karne iliyopita. Lengo la makala hii ni yafuatayo: kutoa maelezo machache juu ya maisha ya Gustav Neuhaus, kuzungumzia matoleo yake ili kufafanua mchango wake katika masomo ya Kiswahili mjini Berlin na katika kupanua ujuzi juu ya lugha na utamaduni wa Waswahili, kutumia mada ya utumwa kama ilivyoelezwa katika nyaraka mbalimbali za mkusanyo wa Neuhaus ili kuonyesha umuhimu wa nyaraka hizo kwa historia ya Afrika Mashariki.

Page generated in 0.0329 seconds