• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 1
  • 1
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Instrumentalisation du Swahili dans l’espace revendicatif afro-americain et commentaires de locuteurs swahili sur la celebration Kwanzaa.

Ferrari, Aurelia 03 December 2012 (has links) (PDF)
Kwanzaa ni sikukuu ya utamaduni pendwa inayosherehekewa na amarekani-Waafrika na watu wengine wa diaspora sehemu mbalimbali duniani. Kwanzaa husherehekewa kwa siku saba toka Desemba tarehe 26 hadi Januari 1. Sherehe hiyo iliyotokana na vuguvugu la Wamarekani weusi kuenzi historia na utamaduni wao toka Afrika. Ilianzishwa mwaka 1966. Katika makala haya, tutaonyesha kwamba Kiswahili katika sherehe hiyo hakitumiki kama lugha ya mawasiliano, kinatumika kama lugha ya kuungana Wamarekani weusi na kuwakumbusha asili zao za kiafrika. Tutaangalia pia maoni mbali mbali ya Waafrika wanaojua Kiswahili na wanaoishi barani Afrika kuhusu sherehe hiyo. Tumeyachukua na tumeyachanganua maoni ya Waghana kwa sababu Ghana ilichaguliwa na watu wa diaspora na hasa na Warasta kama “nchi au ardhi ya rejeo”, kwa hivyo Waghana wanahusika sana na msukumo huu wa Wamarekani weusi.
2

Instrumentalisation du Swahili dans l’espace revendicatif afro-americain et commentaires de locuteurs swahili sur la celebration Kwanzaa.

Ferrari, Aurelia 03 December 2012 (has links)
Kwanzaa ni sikukuu ya utamaduni pendwa inayosherehekewa na amarekani-Waafrika na watu wengine wa diaspora sehemu mbalimbali duniani. Kwanzaa husherehekewa kwa siku saba toka Desemba tarehe 26 hadi Januari 1. Sherehe hiyo iliyotokana na vuguvugu la Wamarekani weusi kuenzi historia na utamaduni wao toka Afrika. Ilianzishwa mwaka 1966. Katika makala haya, tutaonyesha kwamba Kiswahili katika sherehe hiyo hakitumiki kama lugha ya mawasiliano, kinatumika kama lugha ya kuungana Wamarekani weusi na kuwakumbusha asili zao za kiafrika. Tutaangalia pia maoni mbali mbali ya Waafrika wanaojua Kiswahili na wanaoishi barani Afrika kuhusu sherehe hiyo. Tumeyachukua na tumeyachanganua maoni ya Waghana kwa sababu Ghana ilichaguliwa na watu wa diaspora na hasa na Warasta kama “nchi au ardhi ya rejeo”, kwa hivyo Waghana wanahusika sana na msukumo huu wa Wamarekani weusi.

Page generated in 0.0204 seconds