• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 2
  • 1
  • 1
  • Tagged with
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Mwili, nafsi na roho katika ugonjwa: mfano wa simulizi za ugonjwa (illness narratives)

Schulz-Burgdorf, Ulrich 03 December 2012 (has links) (PDF)
Simulizi za ugonjwa zinatolewa na mgonjwa na mtu mmoja au wengi wanaoombwa naye wamsaidie wakashauriana hali ya maradhi. Kutambua ugonjwa ni kazi ya kawaida na siyo ya waganga au madaktari tu. Kama pengine, katika Afrika ya Mashariki wenyeji huwa na ujuzi wa kawaida juu ya maradhi, mwili, tiba, dawa za hospitali na za kienyeji. Kila jinsi ya tiba ina njia, lugha na mazoezi yake. Mfano ufuatao unaonyesha maana na matumizi ya dhana na tashbihi (metaphors) katika uganga wa kienyeji. Ni kazi yangu sasa ya kufasiri matumizi ya tashbihi na alama katika mawasiliano ambayo huitwa `simulizi za ugonjwa´, yaani illness narratives ambazo ni dhana ya utafiti katika mawasiliano ya kuganga.
2

Mwili, nafsi na roho katika ugonjwa: mfano wa simulizi za ugonjwa (illness narratives)

Schulz-Burgdorf, Ulrich 03 December 2012 (has links)
Simulizi za ugonjwa zinatolewa na mgonjwa na mtu mmoja au wengi wanaoombwa naye wamsaidie wakashauriana hali ya maradhi. Kutambua ugonjwa ni kazi ya kawaida na siyo ya waganga au madaktari tu. Kama pengine, katika Afrika ya Mashariki wenyeji huwa na ujuzi wa kawaida juu ya maradhi, mwili, tiba, dawa za hospitali na za kienyeji. Kila jinsi ya tiba ina njia, lugha na mazoezi yake. Mfano ufuatao unaonyesha maana na matumizi ya dhana na tashbihi (metaphors) katika uganga wa kienyeji. Ni kazi yangu sasa ya kufasiri matumizi ya tashbihi na alama katika mawasiliano ambayo huitwa `simulizi za ugonjwa´, yaani illness narratives ambazo ni dhana ya utafiti katika mawasiliano ya kuganga.

Page generated in 0.0786 seconds