• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 6
  • 3
  • 3
  • 1
  • Tagged with
  • 7
  • 6
  • 6
  • 6
  • 4
  • 4
  • 3
  • 3
  • 3
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • 2
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
1

Vitendawili vya Kiswahili: usambamba wake na dhima yake katika jamii

Ngonyani, Deo 03 December 2012 (has links) (PDF)
Vitendawili vya Kiswahili, kama vitendawili katika lugha nyingine za Kibantu, na kwa hakika katika lugha nyingine za Kiafrika, ni mafumbo ambayo hutolewa kama kauli au swali linalotaka jibu (Gowlett 1979; Harries 1971, 1976; Okpewho 1992). Vitendawili katika Kiswahili ni sehemu muhimu sana ya michezo ya watoto. Katika jamii ambazo bado zinaishi maisha ya jadi, watoto hukaa pamoja jioni pengine wakiwa na dada zao, kaka zao, na binamu zao wakasimuliana hadithi na kutegana vitendawili. Makala hii inachunguza muundo wa visabiki vya vitendawili vya Kiswahili na kutokana na mchangamano wa muundo tunapendekeza kwamba vitendawili ni njia kuu ya kufundisha watoto ufasaha wa lugha. Ukichunguza usambamba katika vitendawili utaona changamoto kubwa hutolewa kwa mtegaji na wasikilizaji wake kutokana na usambamba ulioko katika sintaksia, fonolojia, kadhalika sitiari. Kama Scheub (2002:124) asemavyo: «Vitendawili ni modeli kwa ajili sanaa za lugha».
2

Sprech-Ton-Kunst : musikalisches Sprechen und Formen des Melodrams im Schauspiel- und Musiktheater (1770 - 1933) /

Kühn, Ulrich. January 2001 (has links)
Univ., Diss.--München, 2001.
3

Tungo za kujibizana: `Kuambizana ni sifa ya kupendana´

Samsom, Ridder 30 November 2012 (has links) (PDF)
Different labels have been used for marking the reciprocity in Swahili dialogue poetry, varying between the more neutral `malumbano´ or `kujibizana´ and the more marked `ukinzani´ or `mashindano´. By showing a sample from the Zanzibari newspaper Mwongozi (1956) of a poetic dialogue on wife-husband relationships, the paper argues that the poetical form and the strong language used are not a mere expression of what has been called `rivalry´, but instruments in expressing views and opinions that have been observed in other literary devices (mithali, misemo, vijembe) and their usage. At the same time it is demonstrated that different types of poems (tenzi, mashairi, nyimbo) and different styles (plain, metaphoric, riddle) are used side by side. The ambiguity, incompleteness and strength of the language that is used in this poetry, make it all possible to express views on sensitive issues in the society.
4

Vitendawili vya Kiswahili: usambamba wake na dhima yake katika jamii

Ngonyani, Deo 03 December 2012 (has links)
Vitendawili vya Kiswahili, kama vitendawili katika lugha nyingine za Kibantu, na kwa hakika katika lugha nyingine za Kiafrika, ni mafumbo ambayo hutolewa kama kauli au swali linalotaka jibu (Gowlett 1979; Harries 1971, 1976; Okpewho 1992). Vitendawili katika Kiswahili ni sehemu muhimu sana ya michezo ya watoto. Katika jamii ambazo bado zinaishi maisha ya jadi, watoto hukaa pamoja jioni pengine wakiwa na dada zao, kaka zao, na binamu zao wakasimuliana hadithi na kutegana vitendawili. Makala hii inachunguza muundo wa visabiki vya vitendawili vya Kiswahili na kutokana na mchangamano wa muundo tunapendekeza kwamba vitendawili ni njia kuu ya kufundisha watoto ufasaha wa lugha. Ukichunguza usambamba katika vitendawili utaona changamoto kubwa hutolewa kwa mtegaji na wasikilizaji wake kutokana na usambamba ulioko katika sintaksia, fonolojia, kadhalika sitiari. Kama Scheub (2002:124) asemavyo: «Vitendawili ni modeli kwa ajili sanaa za lugha».
5

Tungo za kujibizana: `Kuambizana ni sifa ya kupendana´

Samsom, Ridder 30 November 2012 (has links)
Different labels have been used for marking the reciprocity in Swahili dialogue poetry, varying between the more neutral `malumbano´ or `kujibizana´ and the more marked `ukinzani´ or `mashindano´. By showing a sample from the Zanzibari newspaper Mwongozi (1956) of a poetic dialogue on wife-husband relationships, the paper argues that the poetical form and the strong language used are not a mere expression of what has been called `rivalry´, but instruments in expressing views and opinions that have been observed in other literary devices (mithali, misemo, vijembe) and their usage. At the same time it is demonstrated that different types of poems (tenzi, mashairi, nyimbo) and different styles (plain, metaphoric, riddle) are used side by side. The ambiguity, incompleteness and strength of the language that is used in this poetry, make it all possible to express views on sensitive issues in the society.
6

Yanayoudhi kuyaona mafumbo na vijembe vya Kiswahili

Sheikh, Sauda 30 November 2012 (has links) (PDF)
In Swahili language proficiency is measured in terms of a speakers knowledge and use of methali (proverbs), misemo (sayings), mafumbo (riddles) and vijembe (sharp comments). The aim of the paper is to show the different uses of mafumbo and vijembe. Their meanings are at first sight hidden to the addressee, but understood in the context of their use. Mafumbo can be used as teasing, as circumscription for parts of the body of which it is taboo to speak of, as moral reprimands and warnings, and as a secret language between intimate partners or groups of people. Vijembe - `What cuts more than a knive? - the tongue´ - are used on kanga and in newspapers. An important feature of vijembe is that it always asks for an answer, therefore has a strong aspect of competition.
7

Yanayoudhi kuyaona mafumbo na vijembe vya Kiswahili

Sheikh, Sauda 30 November 2012 (has links)
In Swahili language proficiency is measured in terms of a speakers knowledge and use of methali (proverbs), misemo (sayings), mafumbo (riddles) and vijembe (sharp comments). The aim of the paper is to show the different uses of mafumbo and vijembe. Their meanings are at first sight hidden to the addressee, but understood in the context of their use. Mafumbo can be used as teasing, as circumscription for parts of the body of which it is taboo to speak of, as moral reprimands and warnings, and as a secret language between intimate partners or groups of people. Vijembe - `What cuts more than a knive? - the tongue´ - are used on kanga and in newspapers. An important feature of vijembe is that it always asks for an answer, therefore has a strong aspect of competition.

Page generated in 0.0465 seconds