Return to search

Misemo katika lugha za magari: divai mpya?

Tangu kuzuka kwa umiliki wa vyombo vya moto vya usafiri (mabasi, malori, pikipiki) kwa watu binafsi katika miaka ya 1990 nchini Tanzania, misemo kwa kiasi kikubwa imechupa kutoka katika majukwaa yake ya asili ya kanga, vihangaisho, vipepeo na makawa majumbani na kuhamia katika vyombo vya usafiri. Si tu misemo mipya imezuka bali hata ile misemo ya asili imepindwa na kutumiwa katika miktadha mipya. Waandishi wa semi za magari ni madereva, utingo au wamiliki wa vyombo hivyo. Tumebaini makundi matatu ya misemo katika data yetu, yaani misemo kongwe, misemo pindwa na misemo ibuka, kwa kuakisi nadharia za methali na misemo za Mieder & Litovkina (1999), Mieder (2007) na Litovkina (2011). Je, misemo hiyo ni mkondo wa fikra mpya za watu kama alivyotabiri Kezilahabi (1988, 1995)? / Since the introduction of the private commercial motor transport services in Tanzania in the 1990s, the inscription of sayings has shifted from their mainly traditional platforms of female cotton wrap (Kanga), palm leaf food cover (kawa) or hand fan (kipepeo) onto the tailgate, sideboards or mudguards of commercial automobiles. The vehicle owners and/or their operators are inscribers of these automobile slogans. I analyse them in three forms: standard, parodied and innovated sayings adopting the paremiological approaches by Mieder & Litovkina (1999), Mieder (2007), Litovkina (2011). Do these forms of car inscriptions fulfill the prediction by Kezilahabi (1988, 1995) on the imminent transformation of the Swahili sayings to become a platform for negotiation of people`s tumultuous life challenges and desires?

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-162810
Date31 March 2015
CreatorsKipacha, Ahmad
ContributorsNM-AIST, Business Studies and Humanities, Universität Leipzig, Institut für Afrikanistik
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageEnglish
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum 21 (2014), S. 104-121

Page generated in 0.0022 seconds