Return to search

Mwili, nafsi na roho katika ugonjwa: mfano wa simulizi za ugonjwa (illness narratives)

Simulizi za ugonjwa zinatolewa na mgonjwa na mtu mmoja au wengi wanaoombwa naye wamsaidie wakashauriana hali ya maradhi. Kutambua ugonjwa ni kazi ya kawaida na siyo ya waganga au madaktari tu. Kama pengine, katika Afrika ya Mashariki wenyeji huwa na ujuzi wa kawaida juu ya maradhi, mwili, tiba, dawa za hospitali na za kienyeji. Kila jinsi ya tiba ina njia, lugha na mazoezi yake. Mfano ufuatao unaonyesha maana na matumizi ya dhana na tashbihi (metaphors) katika uganga wa kienyeji. Ni kazi yangu sasa ya kufasiri matumizi ya tashbihi na alama katika mawasiliano ambayo huitwa `simulizi za ugonjwa´, yaani illness narratives ambazo ni dhana ya utafiti katika mawasiliano ya kuganga.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-98610
Date03 December 2012
CreatorsSchulz-Burgdorf, Ulrich
ContributorsUniversität zu Köln, Institut für Afrikanistik
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum; 3(1996), S. 109-113

Page generated in 0.0025 seconds