Return to search

Kiswahili: kama kilivyotumika nyakati za vita

Katika kuangalia lugha ya Kiswahili, utaona kuwa uchaguzi wa lugha hii kama lugha ya taifa nchini Kenya na kama lugha ya taifa na lugha rasmi nchini Tanzania unatokana na mambo mengi ya kihistoria, kisiasa, kidini na hata kijamii. Mambo haya yamesaidia katika kukubalika kwa lugha hii na watu wengi katika nchi hizi na nchi nyinginezo ulimwenguni. Makala haya yananuiwa hasa kuangalia namna ambavyo vita mbalimbali vilivyosaidia katika uenezaji na ukuaji wa lugha ya Kiswahili katika ule makabala wa kuangalia historia ya Kiswahili.

Identiferoai:union.ndltd.org:DRESDEN/oai:qucosa.de:bsz:15-qucosa-94697
Date23 August 2012
CreatorsNgugi, Pamela M. Y.
ContributorsKenyatta University, Kiswahili and African Languages, Universität zu Köln, Insitut für Afrikanistik
PublisherUniversitätsbibliothek Leipzig
Source SetsHochschulschriftenserver (HSSS) der SLUB Dresden
LanguageSwahili (individual language)
Detected LanguageUnknown
Typedoc-type:article
Formatapplication/pdf
SourceSwahili Forum 6 (1999), S. 131-136

Page generated in 0.002 seconds