• Refine Query
  • Source
  • Publication year
  • to
  • Language
  • 26
  • 24
  • 6
  • 6
  • 1
  • Tagged with
  • 52
  • 52
  • 47
  • 47
  • 44
  • 38
  • 38
  • 38
  • 30
  • 13
  • 13
  • 10
  • 7
  • 7
  • 7
  • About
  • The Global ETD Search service is a free service for researchers to find electronic theses and dissertations. This service is provided by the Networked Digital Library of Theses and Dissertations.
    Our metadata is collected from universities around the world. If you manage a university/consortium/country archive and want to be added, details can be found on the NDLTD website.
31

Mahojano mafupi na Lutz Diegner juu ya riwaya ya Bina-Adamu!

Wamitila, Kyallo Wadi 30 November 2012 (has links)
Kyallo Wadi Wamitila aliyezaliwa mwaka 1966 mjini Machakos nchini Kenya ni mwandishi anayeandika katika tanzu za ushairi, tamthilia, hadithi fupi na riwaya. Aidha, ameandika vitabu kadhaa vya watoto. Katika mahojano haya mafupi yaliyofanyika tarehe 03.11.2004 kwa njia za baruapepe tulizungumzia riwaya yake ya pili Bina-Adamu! (2002). Riwaya hii ni juzuu ya kwanza ya trilojia ambayo imeendelezwa na Musaleo! Juzuu ya tatu itaitwa Pumzi za Kovu.
32

Mazungumzo na Adam Shafi juu ya uandishi wake wa riwaya

Diegner, Lutz, Shafi, Adam 03 December 2012 (has links)
Adam Shafi aliyezaliwa mwaka 1940 kisiwani Unguja ni mmojawapo wa waandishi mashuhuri wa riwaya ya Kiswahili. Hivi sasa mwandishi yumo mbioni kukamilisha muswada wa riwaya yake ya sita iitwayo Mtoto wa Mama. Mbali na uandishi, Adam Shafi aliwahi kufanya kazi mbalimbali za uandishi wa habari na kazi za ushirika wa kimataifa. Ni furaha yetu kubwa kuwa hatimaye tunaweza kutoa mazungumzo hayo baada ya kuyapitia na kuyahariri kidogo tu, kwa vile tunaamini utamu wa lugha inavyozungumzwa katika hali halisi ya maisha una nguvu ya kiujumi inayoweza kumvutia msomaji zaidi.
33

Ziraili na Zirani, a philosophical analysis

De Giuli, Lou Akusua 06 March 2013 (has links)
The novel Ziraili na Zirani, by W. Mkufya, is characterised by the constant recurrence of themes featuring in theodicy, the philosophical ‘vindication of divine goodness and providence in view of the existence of evil’ (Oxford dictionaries online). The themes which emerge from the characters’ conversations throughout the novel provide a constant confrontation of arguments to support or refute the existence of God. This paper aims to analyse the novel from a philosophical perspective, in order to clarify and emphasise the connection between the ideas and words employed by the characters, and the theories of Western philosophers such as St. Anselm, Thomas Aquinas and Leibnitz. The focus on these particular philosophical aspects contributes to a deeper understanding of the novel as a whole.
34

Ishara na uashiriaji kama nyenzo ya mtindo, maana na kiwakilishi cha itikadi katika riwaya ya Nyuso za Mwanamke

Wanyonyi, Mukhata Chrispinus 30 March 2016 (has links) (PDF)
Makala haya yanachanganua ishara na uashiriaji kama mbinu ya kimtindo ya kuwasilisha maana na kukuza uhusika na maudhui katika riwaya ya Nyuso za Mwanamke (2010) ya Said Ahmed Mohamed. Nimechanganua aina tatu za ishara ambazo ni ishara bia, ishara za kaida na ishara za kifasihi kama zinavyoainishwa na Frye na wenzake (1985). Lengo kuu ni kuchanganua na kubainisha jinsi ishara zinavyowasilisha maana na itikadi za jamii katika matini husika. Ishara hizi pia husaidia kukuza maudhui, ploti na kuongeza ujumi katika matini za kifasihi. / This article analyses symbols and symbolism as stylistic devices of communicating meaning and as a technique of characterisation and theme development in Nyuso za Mwanamke (The Faces of a Woman, 2010) written by Said Ahmed Mohamed. I analysed three types of symbols which are natural symbols, conventional symbols and literary symbols following Frye et al. (1985). This study aims at showing how symbols are used in literary works to communicate meaning and the ideology of the society depicted in the text. Symbols also help to build the theme, the plot and adding aesthetic value in literary texts.
35

Facing the language border: multi-lingualism in two novels of M. G. Vassanji review: Facing the language border: multi-lingualism in two novels of M. G. Vassanjireview

Gromov, Mikhail D. 31 March 2015 (has links)
The study focuses on the use of various languages including Swahili by the author Moyez G. Vassanji against the English background of his works, by concentrating on two of his ´African´ novels, namely The Gunny Sack and The In-Between World of Vikram Lall. In his novels, Vassanji uses multiple literary devices involving the use of different languages, such as code switching and code shifting among others. The paper analyses the use of these various ´language-mixing´ devices in his novels from a literary point of view. A set of literary instruments allow the author to attain various tasks, such as creating ´local colour´, restoring social relationships, and also expressing the characters´ search for new identity, as well as reflecting the author´s own background as a multi-cultural person and writer.
36

Taswira za ndege katika maandiko ya Shaaban Robert

Kipacha, Ahmad January 2015 (has links)
Sifa mojawapo ya umahiri wa Shaaban Robert ni namna anavyounda katika maandiko yake taswira mbalimbali za viumbe wenye mbawa kama vile ndege wakubwa ‘wahamao’, ndege waimbao, malaika na wadudu, kwa minajili ya kuwajengea wasomaji wake motifu za upazo, ukwezi na safari. Wahakiki mbalimbali wameusadifu ufundi wake wa kuunda taswira za kisitiari na ishara katika fasihi ya Kiswahili kwa ujumla. Hata hivyo, uchunguzi wa hakiki zao kifani una mapengo haswa katika kubaini taswira na ishara zitokanazo na kiumbe ndege. Makala haya yanachambua namna Robert anavyotanabaisha kanikinzani mbalimbali kupitia taswira za ndege. Robert amefuzu kuchota taswira za ndege kutoka katika mitholojia ya ndege ya wanajamii wake ili kuwagusa kisitiari wasomaji wake. / One of the key aspects of Shaaban Robert’s artistic techniques is his remarkable molding of winged creature images in the form of extraordinary migratory birds, songbirds, angels and winged termites to infuse the motif of ascendance, progress and journey. So far critics of Robert’s works have given this significant artistic tool a very low prominence in spite of its recurrence in his writings. This paper argues that Robert devulges two opposing forces through scary bird imagery. Robert successfully displays his creative artistry by supplanting the bird mythology drawn from the reservoir of folkloric knowledge of his people to appeal metaphorically to his readers’ senses.
37

Mahojiano na Chachage Seithy L. Chachage juu ya riwaya yake Makuadi wa Soko Huria (2002)

Diegner, Lutz 30 November 2012 (has links)
Chachage Seithy L. Chachage aliyezaliwa mwaka 1955 wilayani Njombe ni mmojawapo wa waandishi wakongwe wa riwaya ya Kiswahili. Hadi hii leo amechapisha riwaya nne. Katika mahojiano haya yaliyofanyika tarehe 30 Machi, mwaka 2004, huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tulitia mkazo zaidi kwenye riwaya yake mpya Makuadi wa Soko Huria (2002). Hivi sasa mwandishi ni Profesa na Mkuu wa Idara ya Sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
38

Mahojano na Ben R. Mtobwa

Gromov, Mikhail D. 03 December 2012 (has links)
Mahojiano haya yamefanyika tarehe 11 Januari 2008, mjini Mainz, Ujerumani, wakati wa Kongamano la Tisa la Janheinz Jahn “Beyond ‘murder by magic’: investigating African crime fiction” lililofanyika Chuo Kikuu cha Mainz.
39

Tegeni masikio: composing East African realities through young eyes

Rosenberg, Aaron Louis 06 March 2013 (has links)
At times creative writing has been employed by Tanzanians in order to demonstrate the progress of African peoples and to reflect the changes, or lack of them, in this society. Popular songs are another continually vibrant medium of intellectual exchange which appeals to various sectors of the Tanzanian populace. Such oral and written works, directed as they are to local and intra-national audiences, are most often created in the Swahili language. The relatively young age of Tanzania’s population, with nearly 65 percent of the population under 25 years of age has brought about a situation in which this young and dynamic population is increasingly seeing their voice and interests represented in literary and aural/oral works. What are the themes and strategies utilized by such songwriters and literary artists and what are their trajectories of dissemination, consumption and activation within Tanzanian social contexts?
40

Daring to be destructive. Euphrase Kezilahabi’s onto-criticism

Lanfranchi, Benedetta 06 March 2013 (has links)
This paper illustrates the ways in which Kezilahabi’s 1985 dissertation makes its own daring contribution to the field of aesthetic criticism through the proposition of a new critical approach to African literature. Kezilahabi’s starting point for the elaboration this new critical approach is the realization of a prevailing tendency among literary critics to read African literature against formal and aesthetic paradigms deeply rooted in the Western literary and philosophical traditions. Opposed to the adoption of interpretative frames that do not acknowledge the philosophical implications involved in literary analysis, Kezilahabi affirms the importance of approaching literary production from within the artistic and philosophical tradition it stems from. Inspired by hermeneutic philosophy, especially in its “ontological turn” embodied by the philosophy of Martin Heidegger, Kezilahabi’s focus is on literary interpretation as an ontological enterprise aimed at “situating” literature within a horizon of understanding where its proper universe of references can be disclosed.

Page generated in 0.1307 seconds