Spelling suggestions: "subject:"außereuropäische buchliteratur"" "subject:"außereuropäische briefliteratur""
121 |
Kazimoto and Meursault: `Brothers´in despair and loneliness.: Comparing Kezilahabi´s Kichwamaji and Camus´L`etrangerŘehák, Vilém 30 November 2012 (has links)
Makala haya yanashughulikia maswahli ya udhanaishi katika fasihi ya Kiswahili. Makala yanalinganisha riwaya mbili, Mgeni ya mwandishi wa Kifaransa anayeitwa Albert Camus na Kichwamachi ya mwandishi wa Kiwahili, Euphrase Kezilahabi, na kuonyesha jinsi riwaya hizo zinayofanana na zinavyotofautiana. Kwa vile Kichwamaji inafanana na Mgeni, ni sahihi humwita Kezilahabi mwandishi ya udhanaishi, lakini kuna tofauti nyingi pia baina ya riwaya hizo mbili. Tofauti moja ni kwamba Albert Camus anamtazama mtu peke yake na hali yake iliyotengwa kabisa na watu wengine, na Kezilahabi, licha ya mtu peke yake, anaizingatia jamii nzima na hali yake vilevile. Tofauti hii ni tokeo la sifa za communalism katika mawazo Kiafrika ya kimapokeo yanayotilia mkazo jamaa na jami, siyo mtu peke yake. / This article analyses and compares the the two writings Kichwamaji by Euphrase Kezilahabi and L´etranger by Albert Camus. Written in the tradition of existentialism, the two writings have many similarities but also differ in some important aspects. While Camus sees the individual just by itself, Kezilahabi also includes the whole family and is writing with it in the tradition of the african communalism.
|
122 |
Mahojiano na Chachage Seithy L. Chachage juu ya riwaya yake Makuadi wa Soko Huria (2002)Diegner, Lutz 30 November 2012 (has links)
Chachage Seithy L. Chachage aliyezaliwa mwaka 1955 wilayani Njombe ni mmojawapo wa waandishi wakongwe wa riwaya ya Kiswahili. Hadi hii leo amechapisha riwaya nne. Katika mahojiano haya yaliyofanyika tarehe 30 Machi, mwaka 2004, huko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tulitia mkazo zaidi kwenye riwaya yake mpya Makuadi wa Soko Huria (2002). Hivi sasa mwandishi ni Profesa na Mkuu wa Idara ya Sosholojia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
|
123 |
Mahojano na Ben R. MtobwaGromov, Mikhail D. 03 December 2012 (has links)
Mahojiano haya yamefanyika tarehe 11 Januari 2008, mjini Mainz, Ujerumani, wakati wa Kongamano la Tisa la Janheinz Jahn “Beyond ‘murder by magic’: investigating African crime fiction” lililofanyika Chuo Kikuu cha Mainz.
|
124 |
Tamaduni na fasihi za kienyeji kwa lugha za kigeniShatry, Alwi M. 03 December 2012 (has links)
Uhusiano baina ya lugha na utamaduni, mila na mirathi ya jamii kwa jumla huenda ukafahamika angalau kwa wepesi, iwapo tutazingatia mambo mawili: kwanza, lugha na matumizi yake ni chombo cha kujieleleza thamani tafauti zilizofungamana na maumbile ya kimila, fikira, maarifa, imani, adabu na utamaduni wa jamii yenyewe kwa jumla. Pili, matumizi ya lugha aghlabu husadifu kuwa ndio msingi wa kuendeleza na kukuza, na hata pia kubuni, uzushi mpya katika mirathi ya utamaduni, mila na khulka za kijamii. Kwa hivyo si rahisi kwa lugha kutengamana na taswira za jamii: utu, utamaduni, mila, mitindo na mengineo. Tungependa kuandaa madhumuni yetu ya kuonesha athari na hatari zinazokabili hali ile ya kutumia lugha geni katika kuendeleza shughuli za jamii au taifa la kienyeji. Muhimu pia, tutashughulika na athari za mtindo huo katika fasihi za kienyeji, hasa tunapozingatia kuwa fasihi ya maandishi ni mfano wa kioo cha hakika ya jamii.
|
125 |
Fasihi Simulizi na teknolojia mpyaElisamia Mrikaria, Steven 14 December 2012 (has links)
Over 50 years ago, Marshall McLuhan (2003), a specialist in communication issues, said that the world is becoming smaller and smaller every starting day, a result of the emergence of modern communication around the world. This situation has given birth to the conept `new technology´. This article will break down this new concept by looking at it through the lens of oral literature, which is used in Swahili communities. However, oral Swahili literature uses Kiswahili language, which is the languagge of communication at different levels throughout East and central Africa. The article will examine the ideals and opinions connected to oral literature described in the existing academic literature, and as one of the genres of narrative literature. It will look at the way in which the concept of new technology is explained by specialists, and in which ways this connects to oral literature. Advantages and effects which came about in the society after the coming of this notion will be discussed. The article ends with a conclusion and possible recommendations.
|
126 |
Tegeni masikio: composing East African realities through young eyesRosenberg, Aaron Louis 06 March 2013 (has links)
At times creative writing has been employed by Tanzanians in order to demonstrate the progress of African peoples and to reflect the changes, or lack of them, in this society. Popular songs are another continually vibrant medium of intellectual exchange which appeals to various sectors of the Tanzanian populace. Such oral and written works, directed as they are to local and intra-national audiences, are most often created in the Swahili language. The relatively young age of Tanzania’s population, with nearly 65 percent of the population under 25 years of age has brought about a situation in which this young and dynamic population is increasingly seeing their voice and interests represented in literary and aural/oral works. What are the themes and strategies utilized by such songwriters and literary artists and what are their trajectories of dissemination, consumption and activation within Tanzanian social contexts?
|
127 |
Daring to be destructive. Euphrase Kezilahabi’s onto-criticismLanfranchi, Benedetta 06 March 2013 (has links)
This paper illustrates the ways in which Kezilahabi’s 1985 dissertation makes its own daring contribution to the field of aesthetic criticism through the proposition of a new critical approach to African literature. Kezilahabi’s starting point for the elaboration this new critical approach is the realization of a prevailing tendency among literary critics to read African literature against formal and aesthetic paradigms deeply rooted in the Western literary and philosophical traditions. Opposed to the adoption of interpretative frames that do not acknowledge the philosophical implications involved in literary analysis, Kezilahabi affirms the importance of approaching literary production from within the artistic and philosophical tradition it stems from. Inspired by hermeneutic philosophy, especially in its “ontological turn” embodied by the philosophy of Martin Heidegger, Kezilahabi’s focus is on literary interpretation as an ontological enterprise aimed at “situating” literature within a horizon of understanding where its proper universe of references can be disclosed.
|
128 |
Talking about oneself to act in the world: a Swahili autobiography (Shaaban Robert, Maisha yangu na baada ya miaka hamsini [My life and after fifty years])Garnier, Xavier 06 March 2013 (has links)
Shaaban Robert wrote three autobiographical texts at different times in his life. The first, which is lost, covered his childhood and had been written when he was 27; the second, which corresponds to the first part of this work, was written at the age of 37, covering the period 1936-1946. The last was completed in 1960, but covers the period 1946-1959. It must be emphasised that the poet’s life cannot be compartmentalised into separate, successive stages. Over and above a chronological division of events, the two sections of the book can be differentiated by the different periods when they were written and thus the different viewpoints on what happened throughout his life. Philippe Lejeune´s definition of an autobiography as ´a retrospective prose narrative made by a real person about their own existence, emphasising their indi¬vidual life and in particular the development of their personality´ (Lejeune 1996: 14), is a familiar one. This definition fits Shaaban Robert´s text perfectly and yet, in the Swahili context, such an endeavour could have encountered many obstacles.
|
129 |
Deviation as communicative strategy in Gamba la nyokaMbatiah, Mwenda 06 March 2013 (has links)
This article deals with deviation in Euphrase Kezilahabi´s novel Gamba la Nyoka (1979). We analyse four different types of deviation, namely grammatical, lexical, phonological, and semantic deviation. The objective of this study is to combine linguistic analysis with literary riticism, in order to show how these different types of deviation correspond with the overall message the author conveys in this novel, which is a political novel dealing with the era of establishing Ujamaa policies in rural Tanzania.
|
130 |
Uhalisia na uhalisiamazingaombwe: mshabaha kati ya Dunia yao na The tin drumWaliaula, Ken Walibora 03 December 2012 (has links) (PDF)
Je, kuna uhusiano gani kati ya Euphrase Kezilahabi wa Tanzania na Gabriel García Marquez wa Kolombia, au kati ya Kyallo Wadi Wamitila wa Kenya na Juan Rulfo wa Meksiko ama kati ya Günter Grass wa Ujerumani na Said Ahmed Mohamed wa Zanzibar? Waandishi hawa waliotengwa kitaifa na kilugha wanaunganishwa na uamuzi wao wa kuandika riwaya kwenye mtindo usiokuwa wa kawaida, mtindo wa uhalisiamazingaombwe. Kwa kulinganisha na kulinganua riwaya ya Mohamed na ile ya Grass ninakazia nadhari dayolojia ya kina iliyochipuka kati ya fasihi ya Kiswahili na fasihi ya ulimwenguni pote. Ni maoni yangu kwamba riwaya mbili hizi, zinakikabili kizungumkuti cha kuwepo kwa mwanadamu kwa kuutupilia mbali mfumo wa uwakilishi wenye uhalisia kama tunavyoujua. Badala yake riwaya hizi zimezingatia mtindo wa ujumi wa kisasabaadaye (postmodern aesthetics). Kazi hizi za sanaa zinatumia sifa bainifu za uhalisia mazingaombwe kama nyenzo za kuakisi na kuakisi kwa kubirua hali halisi ya udhaifu, kuyumbayumba na ukosefu wa uthabiti na udumifu katika maisha Afrika na Ulaya.
|
Page generated in 0.0881 seconds